a
Law 2:13
b
Mt 5:13
;
Lk 14:34-35
;
Kol 4:6
;
Rum 12:18
;
1The 5:13
Mark 9:49-50
49
a
Kila mmoja atatiwa chumvi kwa moto.
50
b
“Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake utaifanyaje ili iweze kukolea tena? Mwe na chumvi ndani yenu, mkaishi kwa amani, kila mmoja na mwenzake.”
Copyright information for
SwhNEN